KATIBU MKUU UVCCM TAIFA AHIMIZA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA WALEMAVU WASAIDIWE.
Wanafunzi
wa shule ya msingi Mreyai iliyopo wilayani Rombo mkoa wa kirimanjaro wakisikiliza
kwa makini ugeni wa kaimu katibu mkuu uvccm taifa Shaka Hamdu Shaka.
Na:Fahadi Siraji
Viongozi wa
kisiasa, wafanyabiashara, viongozi wa kiserikali na wafanyajazi wametakiwa
kuwajali na kuwathamini watoto
wenye ulemavu na wanaoishi kwenye mazingira magumu kwani wao pia ni binadamu wanao sitahili kupata haki na
mahitajj muhimu ya kibinadsmu
Hayo
yamebainishwa na leo na kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka
wakati alipotembelea shule ya msingi Mreyai iliyopo wilayani Rombo mkoani
Kilimanjaro yenye jua huduma watoto wenye ulemavu wa viungo na mndio wa akili.
Alisema kuwa
ni muhimu kuwajali sana watoto wenye ulemavu kwani wakitengenezwa vizuri na
kuandaliwa vizuri kwa kupewa elimu
watakuwa viongozi wazuri wa baadae.
Aidha
alivitaka vyama Vya siasa vijielekeze kutatua changamoto na ma tatizo ya watoto
ambao ni Walemavu na sio kuendeleza Kufanya siasa ata sehemu ambayo aitakiwi
siasa.
"napenda
kuviambia vyama vingine vya siasa sasa ivi uchaguzi imeisha ni kipindi cha
kufanya kazi na kuachana na siasa sasa ivi ni kipindi cha kufanya kazi na
kutatua ma tatizo ya wananchi " alisema Shaka.
Kwa upande
wa Mkuu wa shule ya msingi Mreyai, Nuruel Laizer alisema kuwa shule hiyo
inahudumia wanafunzi wenye Mtindio wa akili na wanafunzi ambao ni walemavu wa
viungo ambapo alisema kuwa shule hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali
ikiwemo ya ukosefu wa chakula cha wanafunzi, ukosefu wa vitanda na mgodoro ya
kulalia Wanafunzi ambao ni walemavu ,baskeli kwa ajili ya watoto ambao ni
walemavu wa miguu.
Alisema kuwa
Wanafunzi hao wanakaa katika ma bweni apo shule ni lakini wanaupungufu mkubwa
wa vitanda na mgodoro kwani vitanda
ambavyo wana vitu mia wameviazima kutoka kwa watu na mda wowote wenyewe
wanaweza kuja kuchukuwa.
Aliomba
serekali pamoja na wadau mbalimbali kujitokeza kuwasaidia kitu icho ili watoto
hao waweze kuishi kwa amani na furaha kama watoto.
"watoto
hawa wanawazazi lakini wazazi hao hawana uwezo na ndio maana wa me wamewaleta
Hapa ili wapate elimu hivyo tu naomba sana serekali na wadau mbalimbali wajitokeze
kutusaidia"
alisema lazier
Shule hii ya msingi Mreyai imepata msaada wa chakula, maharage, malindi, sabuni,
mafuta, miswaki na kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka aliaidi
kusaidia shule hii vitanda Nane na mgodoro kwa ajili ya wanafunzi hawa wenye
ulemavu wa viungo pamoja na Mtindio wa ubongo.
wanafunzi na
ugeni ukisikiliza Risala iliyo somwa na mmoja wa wanafunzi walemafu katika
shule hiyo
Kaimu Katibu
Mkuu Shaka Hamdu Shaka akipokea Risala ya Wanafunzi
Mkuu wa
shule ya msingi Mreyai Nuruel Laizer wa
kwanza ushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa kilimanjaro Juma
Rahibu Juma akifuatiwa na kaimu katibu
mkuu UVCCM taifa katika makabidhiano ya baadhi
ya msaada ambao ulipelekwa shuleni hapo
Mkuu wa shule ya msingi Mreyai Nuruel Laizer wa kwanza kushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa kilimanjaro Juma Rahibu Juma akifuatiwa na kaimu katibu mkuu UVCCM taifa katika makabidhiano ya baadhi ya msaada ambao ulipelekwa shuleni hapo
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka alizungumza na wanafunzi wa Shule ya
Msingi Mreyai
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka alizungumza na wanafunzi wa Shule ya
Msingi Mreyai
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka akizungumza na moja ya Wanafunzi wenye ulemavu
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka akipanda mti
Wanafunzi wa
Shule ya msingi Mreyai wakifurahi pamoja na Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka.
No comments: