Lori likiwa limekula mweleka hii leo katika eneo la Lugeye, Kona ya Kayenze Wilaya ya Magu mkoani Mwanza baada ya dereva kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.
Mwendo Kasi Unaua, Endesha kwa Ustarabu.
LORI LAPIGA MWELEKA MAGU MKOANI MWANZA.
Reviewed by BMG Media
on
May 30, 2016
Rating: 5
No comments: