MAKUNDI HASIMU YA NGOMA ZA KISUKUMA KUCHUANA VIKALI KATIKA TAMASHA LA BULABO 2016.
Tunategemea kuyaona makundi hasimu katika kucheza ngoma za asili za Kisukuma (Bagika na Bagalu) katika Tamasha la Wasukuma la Bulabo 2016.
Mhifadhi wa Kituo cha Utamaduni Bujora kilichopo Magu mkoani Mwanza, Richard Raphael Buluma (pichani) ameiambia 102.5 #LakeFm Mwanza kuwa tamasha hilo linatarajia kufanyika June 19 hadi June 26 mwaka huu katika Uwanja wa mpira Kisesa uliopo wilayani Magu. #LakeFm #RahaYaRockCity #RadioYaWananzengo #MwanzaKumbuka ushabiki wa Bagika na Bagalu katika ngoma za asili ni sawa na ushabiki wa Simba na Yanga katika soka hapa nchini.
Mhifadhi wa Kituo cha Utamaduni Bujora kilichopo Magu mkoani Mwanza, Richard Raphael Buluma
Mhifadhi wa Kituo cha Utamaduni Bujora kilichopo Magu mkoani Mwanza, Richard Raphael Buluma
No comments: