KUHUSU MSIBA WA ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA KILINDI, BEATRICE SHELUKINDO.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Familia ya Bwana William H. Shelukindo, Inasikitika
kutangaza kifo cha Bibi Beatrice Matumbo Shelukindo kilichotokea siku ya
Jumamosi 2/7/2016 huko Arusha.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu, 8 Galu
Street, Ada Estate, Dar es salaam na huko Arusha. Mazishi yatafanyika siku ya Jumatano Tarehe 6/07/2016
alasiri Mjini Arusha.
Bwana ametoa Bwana, ametoa Jina la Bwana lihimidiwe.
No comments: