LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tigo yakabidhi madawati ndani ya msimu wa fiesta wilayani Kahama.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Mkurugenzi  wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya (kushoto) akimkabidhi madawati Mkuu wa wilaya ya Kahama  Fadhili Nkulu kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Kahama Mjini. Jumla ya madawati 235 yalitolewa kwa shule za wilayani humo ndani ya msimu huu wa fiesta.
Mkurugenzi  wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya (wa kwanza kulia ) akiwa amekaa kwenye madawati baada ya makabadhiano anayefuatia ni  Mkuu wa wilaya ya Kahama  Fadhili Nkulu kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Kahama Mjini. Jumla ya madawati 235 yalitolewa kwa shule za wilayani humo ndani ya msimu huu wa fiesta.

No comments:

Powered by Blogger.