KAMPENI YA "TUNAWEZA" YAZINDULIWA KATA YA SANDALI JIJINI DAR ES SALAAM.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Afisa
Maendeleo Kata ya Sandali, Anuciatha Kayombo akizungumza jambo katika
hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake na
watoto uliofanyika Kata ya Sandali Dar es Salaam jana kabla ya ufunguzi
huo.
Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo akisalimia wananchi na kutambulisha viongozi meza kuu
Mkurugenzi wa Kikundi cha ngoma cha Hisia Theater Group, Hamisi Kussa akicheza na nyoka wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kampeni Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto uliofanyika Kata ya Sandali Dar es Salaam kabla ya
ufunguzi huo.
Diwani
wa Kata ya Sandali, Abel Tarimo (wa pili kushoto) akizungumza jambo wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto uliofanyika Kata ya Sandali Dar es Salaam kabla ya
ufunguzi huo na kupata nafasi ya kumkaribisha mgeni rasmi, kuanzia kulia ni Afisa
Maendeleo Kata ya Sandali, Anuciatha Kayombo, Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo na kushoto ni Diwani ya Kata ya Kilungule, Said Fella
Mgeni rasmi, Diwani ya Kata ya Kilungule Saidi Fella (kushoto) akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto, wakwanza kulia ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo na Diwani
wa Kata ya Sandali, Abel Tarimo
Diwani Fella katika picha ya pamoja na kikundi cha ngoma cha Hisia Theater Group
Mkurugenzi
wa Kikundi cha ngoma cha Hisia Theater Group, Hamisi Kussa (kulia)
akisalimiana na Mgeni rasmi ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilungule, Saidi Fella
Kikundi cha wacheza ngoma cha Hisia wakitowa burudani wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto uliofanyika Kata ya Sandali Dar es Salaam
Wapiga ngoma wakitumbuiza wakati wa hafla hiyo
Msanii wa Kikundi cha ngoma cha Hisia, Theo Leonald awa kivutio katika hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto
Mcheza Sarakasi wa Kikundi cha Hisia, Omary Said akitowa burudani ya mchezo wa Yoga katika hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto
Mcheza Sarakasi wa Kikundi cha Hisia, Omary Said akitowa burudani ya mchezo wa Yoga katika hafla ya ufunguzi wa Kampeni ya Tunaweza inayopinga ukatili wa wanawake
na watoto
Wananchi wakifuatilia kwa umakini
Wakifuatilia matukio
Afisa Msajili Cecilia Nyandindi (kushoto) akiendelea na kusajili wananchi wanaopinga Ukatili wa wanawake na watoto
Na Khamis Mussa, Dar
No comments: