Mwanza waja na suluhisho la wakazi wa milimani kutiririsha majitaka
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Uzinduzi wa mradi huo unaosimamiwa na Mamlaka ya
Maji Safi na Usafi wa Mazingira mkoani Mwanza (MWAUWASA) ulifanyika Agosti 15,
2018 katika Mtaa wa Unguja Kata ya Mabatini Jijini Mwanza ambapo unatekelezwa
katika wilaya za Nyamagana, Ilemela pamoja na Magu.
PIA SOMA Waziri wa Maji aipongeza MWAUWASA
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Waziri wa
Maji na Umwagiliaji Mhe. Prof. Makame Mbarawa amezindua mradi wa majisafi na
usafi wa mazingira (LV WATSAN) katika makazi yenye miinuko mkoani Mwanza, lengo
likiwa ni kuzuia uchafuzi wa mazingira kupitia utiririshaji ovyo wa majitaka.
PIA SOMA Waziri wa Maji aipongeza MWAUWASA
No comments: