Naibu Waziri Doto Biteko atatua mgogoro wa madini Tarime
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
SOMA>>>BUNDA: Biteko atoa maamuzi sakata la mwekezaji kuwatimua wanakijiji
Naibu Waziri
wa Madini, Doto Biteko amemtaka mmiliki wa leseni ya uchimbaji dhahabu katika
machimbo ya Msege yaliyopo Tarime mkoani Mara, kuingia makubaliano ya kufanya
kazi pamoja na wachimbaji wadogo waliowekeza mitaji yao kwenye machimbo hayo.
Maamuzi hayo
ni matokeo ya ziara aliyoifanya jumatano iliyopita Septemba 19, 2018 kwenye
machimbo hayo ambapo alimuonya mmiliki huyo Mwita Chacha Wambura (Dochi),
kuheshimu maamuzi yaliyoafikiwa kwani amekuwa akikwepa kusaini makubaliano
yaliyopo ambapo anapaswa kupata asilimia 40 ya mauzo ya dhahabu katika machimbo
hayo huku wachimbaji wadogo wakipata asilimia 60.
Tazama BMG Online Tv hapa chini
SOMA>>>BUNDA: Biteko atoa maamuzi sakata la mwekezaji kuwatimua wanakijiji
No comments: