Mkutano wa ALAT Taifa watamatika Jijini Dodoma
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muugano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb), akifunga Mkutano wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT), jana Septemba 28, 2018 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jaffo, akitoa salam za Wizara muda
mfupi kabla ya kutamatika kwa mkutano wa 34 wa ALAT.
Mwakilishi wa TFDA (kulia), akipokea cheti kutoka kwa
Mgeni Rasmi Mhe. Job Ndugai kufuatia ushiriki wa mamlaka hiyo uliowezesha mkutano
wa 34 ALAT jijini Dodoma mwaka huu.
Picha
na Atley Kuni- OR TAMISEMI.
No comments: