LIVE STREAM ADS

Header Ads

Ofisi ya Makamu wa Rais yawasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Matangazo.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira mara baada ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira katika ngazi ya Serikali za Mitaa. Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Balozi Joseph Sokoine akifuatilia majadiliano mara baada ya Ofisi yake kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Sheria ya Mazingira mbele ya Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira. Kulia ni Mhe. Hawa Mwaifunga Mbunge wa Viti Maalumu.
Sehemu ya waheshiwa wabunge wakifuatilia mjadala, kulia ni Mhe Josephine Genzabuke na Mhe. Gibson Blasius Meiseyeki.
Na Lulu Mussa

No comments:

Powered by Blogger.