TUNAKUMBUSHANA: Kivuko cha MV. Kome II wilayani Sengerema
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Kivuko cha
MV Kome II kinatoa huduma ya usafirishaji mizigo na abiria katika Ziwa Victoria
kati ya Nyakaliro na Kome katika Halmashauri ya Buchosa Wilaya ya Sengerema
mkoani Mwanza.
Kwa nyakati
kadhaa ikiwemo msimu wa Sikukuu, mahitaji ya Kivuko huwa ni makubwa hivyo
wakazi wa Buchosa wanashauri Serikali kuongeza Kivuko cha pili ili kurahisisha
utoaji huduma.
No comments: