Waziri wa Afya ambana mkandarasi ujenzi wa Hospitali mkoani Geita
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Na Joel Maduka, Geita
Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema
haridhishwi na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Geita na hivyo
kumtaka mkandarasi kuongeza juhudi ila kukamilisha ujenzi huo kwa wakti ifikapo
Julai 2019.
Waziri
Mwalimu aliyasema hayo baada ya kufanya ziara katika mradi huo unaotekelezwa na
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Hata hivyo
Msimamizi wa mradi huo, Grace Elias alijitetea kwamba sababu mbalimbali ikiwemo
mvua zimesababisha kasi ya ujenzi wake kusuasua.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: