Simba yawapindua Al Ahly Jijini Dar
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Timu ya Soka ya Simba ya Tanzania imeibuka na ushindi wa bao 1:0 dhidi ya All Ahly ya Misri kwenye mchezo wa marudiano wa klabu bingwa barani Afrika. Goli la Simba limetiwa kimiani na mchezaji Meddie Kagere.
BMG Habari
#PamojaDaimaBMG
No comments: