LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wizara ya Madini yafuta leseni zaidi ya elfu 18

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika hii leo kwenye uwanja wa Kolimba, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Mama Samia anaendelea na ziara yake ya siku tano mkoani Tabora iliyoanza Februari 21, 2019 ambapo leo akiwa wilayani Kaliua, amekagua na kuweka jiwe la ufunguzi kwenye jengo la upasuaji katika Kituo cha Afya Kaliua, kukagua na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Wilaya Kaliua. Pia amekagua na kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Uyumbu kilichopo wilayani Urambo na baadaye kuzungumza na wananchi kupitia mkutano wa hadhara.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.