Kauli sita konki za Waziri Biteko akiwa Nyamongo wilayani Tarime
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Machi 05, 2019 Waziri wa Madini, Doto Biteko alifanya ziara katika mgodi wa dhahabu wa Acacia North Mara uliopo Nyamongo, wilaya Tarime mkoani Mara.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Biteko- Waliotegesha Nyamongo hawalipwi fidia
Biteko- Acacia wanaonyesha dharau kwa Serikali
Biteko- Mheshimiwa Heche, tegesha hulipwi
Biteko- Nitakuwa Waziri wa kwanza kufunga mgodi mkubwa
Biteko- Ni bora kusitisha shughuli za mgodi Nyamongo
Biteko- Tathmini ya fidia ifanyike upya Nyamongo
No comments: