Huna kitambulisho cha JPM/ hulipi kodi/ unakamatwa kwa uzururaji
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Geita, Mhandisi Robert Gabriel ameonya kwamba yeyote ambaye hana kitambulisho
cha mfanyabiashara mdogo na hajasajiliwa kama mlipa kodi, atahesabika kama mtu
asiye na shughuli maalum ya kufanya na hivyo kukamatwa kwa uzururaji.
Mhandisi
Gabriel ametoa kauli hiyo kwenye uzinduzi wa zoezi la ujenzi wa vibanda 32 vya biashara
katika soko kuu Mjini Geita, amnavyo hadi kukamilika kwake mwezi Juni mwaka
huu, vitakavyogharimu shilingi bilioni 1.7 ikiwa ni fedha za huduma kwa jamii
(CSR) kutoka mgodi wa dhahabu wa GGM.
Na Joel Maduka, Geita
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: