LIVE STREAM ADS

Header Ads

Karibu kwenye ibada Maalum ya kuombea Elimu/ mtihani wa kidato cha sita 2019

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Kituo cha Huduma ya Maombi na Neno la Mungu Jijini Mwanza kinakukaribisha kwenye Ibada Maalum ya kuombea elimu/ mtihani wa kidato cha sita unaotarajiwa kuanza nchini Tanzania Mei 06 hadi 23, 2019. Ibada hiyo itakafanyika siku ya jumapili Mei 05, 2019 kuanzia saa tisa na nusu alasiri hadi saa kumi na mbili jioni eneo la Pasiansia/ Iloganzara jirani na kiwanda cha mabondo cha wachina.

No comments:

Powered by Blogger.