RC Mongella "Ushoroba wa Kati umechangamsha uchumi wa Mwanza"
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella amesema kufunguliwa kwa safari za mizigo kwa kutumia reli
na meli kupitia ushoroba wa kati (Central Corridor) kumechochea ukuaji wa
uchumi kwa wananchi mkoani Mwanza.
Mongella
ameyasema hayo leo Julai 30, 2019 kwenye hafla ya usafirishaji mizigo kwa
kutumia meli ya MV. Umoja kupitia Ziwa Victoria kutokea bandari ya Mwanza
Kusini (Tanzania) hadi bandari ya Portbell (Uganda), uliofanywa na Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe katika bandari ya
Mwanza Kusini.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: