LIVE STREAM ADS

Header Ads

Misungwi watakiwa kuyatumia masoko ya madini "viongozi watoa tahadhari"

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Mkuu wa Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Juma Sweda amekagua shughuli za wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya Shilalo na kuwahimiza kujiandaa kuyatumia masoko ya madini yanalotarajiwa kufunguliwa wilayani humo likiwemo soko la Shilalo.
#BMGHabari
Uboreshaji wa jengo kwa ajili ya uanzishwaji soko la madini jirani na machimbo ya dhahabu Shilalo wilayani Misungwi unaelekea ukingoni. 
 Ujenzi wa choo/ vyoo katika machimbo ya Shilalo wilayani Misungwi umezingatiwa ikiwa ni hatua ya kuimarisha pia uanzishwaji wa soko la madini.
 Moja ya mashine ya kusagia mawe yenye dhahabu katika machimbo ya Shilalo wilayani Misungwi.
 Sehemu ya eneo la kuoshea dhahabu katika machimbo ya Shilalo wilayani Misungwi.
 Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya Shilalo wilayani Misungwi.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.