LIVE STREAM ADS

Header Ads

DC Nyamagana awahamasisha wanawake kushiriki uchaguzi ujao

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Wilaya Nyamagana mkoani Mwanza, Dkt. Philis Nyimbi amewahimiza wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Vijiji na Mitaa unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu 2019.
Dkt. Nyimbi ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa mwamvuli wa mashirika yanayotetea lengo namba tano la maendeleo endelevu hapa nchini (ASDG5 Coallition Tanzania), linalohusu usawa wa kijinsia (SDG5).
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.