Maonesho ya Nane Nane 2019 Kanda ya Ziwa Magharibi yaanza vyema
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mwenyekiti
wa Kamati ya Maandalizi ya maonesho ya bidhaa za kilimo, ufugaji na uvuvi Kanda
ya Ziwa Magharibi, Emil Kasagala amesema maonesho hayo yanayofanyika katika
uwanja wa Nyamhongolo jijini Mwanza yameanza vyema na yanatarajiwa kupata
mwitikio mkubwa.
Kasagala
aliyasema hayo jana Agosti 03, 2019 kwenye ufunguzi rasmi wa maonesho hayo yanayojumuisha
mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera ambapo mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa
Kilimo, Hussein Bashe.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: