Shirika la NSSF lafungua milango zaidi kwa watanzania
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Shirika la
Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limewahimiza wananchi waliojiajiri na
kuajiriwa katika sekta isiyo rasmi nchini, kutumia fursa iliyopo ya kujiunga na
shirika hilo ili kunufaika na mafao mbalimbali ikiwemo ya uzazi na uzeeni.
Meneja
Uhusiano Elimu kwa Umma NSSF, Lulu Mengele aliyasema hayo jana Julai 31, 2019 kwenye
mkutano baina ya shirika hilo na waandishi wa habari mkoani Mwanza, uliolenga
kutoa elimu kuhusiana na kampeni ya Marafiki wa NSSF yenye lengo la kuhakikisha
wananchi wote wanajiunga na kunufaika na mafao ya jamii.
Tazama BMG Online TV hapa chini
SOMA>>> Mkusanyiko wa habari mbalimbali
No comments: