LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tuzo ya "Mwanza Quality Wines" yapokelewa kwa shangwe

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Kampuni ya Mwanza Quality Wines inayozalisha mvinyo wa matunda jamii ya Power Banana imeibuka mshindi wa jumla wa tuzo za kampuni 100 bora (Top 100 Awards) mwaka 2019/20 zinazotolewa chini ya uratibu wa kampuni ya ukaguzi wa hesabu za fedha KPMG kwa kushirikiana na Mwananchi Communications Limited (MCL).

Tuzo hizo zilitolewa Oktoba 25, 2019 jijini Dar es salaam huku mapokezi ya tuzo ya mshindi wa jumla yakifanyika Oktoba 31, 2019 katika uwanja wa ndege wa Mwanza ambapo hiyo ni hatua kubwa kwa kampuni ya Mwanza Quality Wines ambayo tuzo za mwaka 2018/19 ilishika nafasi ya 30.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kulia), Leopord Lema akijongea kupokea tuzo ya mshindi wa jumla wa kampuni 100 bora za kati Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kulia), Leopord Lema akipokea tuzo hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kulia), Leopord Lema akionesha tuzo hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kulia), Leopord Lema
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kulia), Leopord Lema akifurahia tuzo hiyo pamoja na wafanyakazi wake.
Wafanyakazi wa Mwanza Quality Wines wakifurahia tuzo hiyo.
Wafanyakazi wa Mwanza Quality Wines wakifurahia tuzo hiyo.
Wafanyakazi wa Mwanza Quality Wines wakifurahia tuzo hiyo.
Wafanyakazi wa Mwanza Quality Wines wakiipokea kwa shangwe tuzo hiyo.
Mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Mwanza Quality Wines akifurahia tuzo hiyo.
Wafanyakazi wa Mwanza Quality Wines wakifurahia tuzo hiyo.
Huu ni mwaka wa tisa kwa tuzo za "Top 100 Awards" kutolewa.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kushoto), Leopord Lema akifurahia tuzo hiyo pamoja na Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Florah Magabe (kulia).
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwanza Quality Wines (kulia), Leopord Lema akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali.
Viongozi, wafanyakazi na wadau mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Picha ya pamoja baada ya mapokezi ya tuzo.
Wafanyakazi wa Mwanza Quality Wines.
Wafanyakazi wa kampuni ya Mwanza Quality Wines wakiwa kwenye mapokezi hayo.
Habari kuhusu kampuni ya Mwanza Quality Wines kutwaa ushindi miongoni mwa makampuni 100 bora Tanzania yanayokua kwa kasi ilichapishwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.