Wahitimu 720 Chuo Kikuu CUHAS kutunukiwa Stashahada na Shahada mbalimbali
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Makamu Mkuu
wa Chuo Kikuu Katoliki cha Sayansi za Afya (The Catholic University of Health
and Allied Sciences- CUHAS), Prof. Paschalis Rugarabamu akitoa taarifa ya
Mahafali ya 12 ya Chuo hicho yatakayofanyika Novemba 16, 2019 katika viwanja
vya Bugando.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: