LIVE STREAM ADS

Header Ads

Viongozi wa dini watembelea miradi Airport Mwanza wapiga dua kali

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Baada ya uzinduzi wa Maulid Novemba 04, 2019 katika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza, waumini wa dini ya kiislamu walitembelea miradi ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza na kufanya dua maalum ya kuombea miradi hiyo pamoja na Taifa kwa ujumla. Sikukuu ya Maulid inatarajiwa kufanyika kitaifa jijini Mwanza Novemba 09, 2019.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Mkuu wa Mkoa Mwanza John  mongella (katikati), Sheikh wa Mkoa Mwanza Hassan Kabeke (kushoto), viongozi mbalimbali pamoja na waumini wa dini ya kiislamu walipotembelea upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.