NIMR kuanza tafiti "kusaka suluhu ya kupambana na magonjwa"
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Taasisi ya
Taifa ya Utafiti wa Magongwa ya Binadamu (NIMR) imekuja na mpango wa
kuwashirikisha watoa huduma mbalimbali wa afya ngazi za wilaya na mikoa ili
kufanya tafiti zitakazosaidia kupambana na magonjwa mbalimbali.
Hayo
yalibainishwa kwenye kilele cha warsha ya wadau wa utafiti kutoka mikoa ya
Kanda ya Ziwa iliyofanyika jijini Mwanza kwa siku mbili kuanzia Novemba 04,
2019 ikiandaliwa na NIMR.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkurugenzi wa NIMR Kituo cha Mwanza, Dkt. Safari Kinung'hi akizungumza kwenye kilele cha warsha ya wadau wa utafiti Kanda ya Ziwa Novemba 05, 2019 jijini Mwanza.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: