Wafuasi wa Mfalme Zumaridi wakaribishwa makanisa mengine
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Novemba 18,
2019 Serikali kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya Nyamagana mkoani
Mwanza inasitisha ibada za kanisa la Mfalme Zumaridi kwa madai ya kuendeshwa
kinyume na taratibu.
Novemba 20,
2019 Umoja wa Makanisa jijini Mwanza unaoundwa na Mabaraza ya Makanisa ya
Kikatoliki (TEC), Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) pamoja na Baraza la Makanisa
ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) unatoa tamko lililoambatana na ushauri kwa
waliokuwa wa Mfalme Zumaridi.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: