Wananchi 'wachefukwa' zoezi la kupata namba za NIDA
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella Januari 16, 2020 amefika katika ofisi za NIDA Wilaya
Nyamagana kufuatia malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu zoezi la utoaji namba
za vitambulisho vya NIDA.
Kumekuwa na
msongamano wa wananchi katika maeneo mbalimbali nchini baada ya Rais John
Magufuli kutangaza kuwa mwisho wa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole ni
Januari 20, 2020.
Tazama BMG TV hapa chini
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zinazohusiana na NIDA
No comments: