Jiji la Mwanza latakiwa kujibu hoja za CAG kwa wakati/ kuimarisha mapato
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Halmashauri
ya Jiji la Mwanza imetakiwa kuhakikisha inajibu na kuzifuta hoja zote za
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) huku pia ikiimarisha uwezo wake wa kudhibiti
vyanzo vya mapato.
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella aliyasema hayo Ijumaa Mei 01, 2020 wakati akifungua kikao
cha baraza la madiwani la Halmashauri hiyo kwa robo ya tatu ya mwaka 2019/20 kilicholenga
kujadili hoja za CAG.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: