Kuvaa barakoa sasa ni lazima- RC Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella alitoa kauli hiyo Ijumaa Mei 01, 2020 wakati akifungua
kikao cha baraza la madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kilichoketi kujadili
hoja za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: