Viongozi wa dini watakiwa kuhimiza matumizi ya barakoa
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella akizungumza na viongozi wa dini Jumamosi Mei 02, 2020 amewahimiza
viongozi hao kuwahamasishaji waumini wao kuvaa barakoa (mask) wanapokuwa kwenye
mikusanyiko ili kujikinga na hatari ya kupata maambukizi ya Corona.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari kuhusiana na Corona
No comments: