LIVE STREAM ADS

Header Ads

Machinga Mwanza wampongeza Rais Magufuli

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Wafanyabiashara wadogo (machinga) katika mitaa na masoko mbalimbali jijini Mwanza wameungana na kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuongoza vyema mapambano dhidi ya Corona bila kuzuia wananchi kutoka nje (lockdown).

Pongezi za wafanyabiashara hao zimetolewa Jumanne Mei 19, 2020 kupitia vyama vyao (Umoja wa Machinga Mkoa Mwanza pamoja na Shirika la Machinga Mkoa Mwanza).
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.