LIVE STREAM ADS

Header Ads

Baba atuhumiwa kumpa mwanae ujauzito

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mwanaume mmoja mkazi wa Wilaya Bunda mkoani Mara anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumpa ujauzito mtoto wake ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano. Jumla ya watuhumiwa wawili akiwemo baba wa mtoto huyo wanaendelea kuhojiwa kutokana na tukio hilo.

Mkuu wa Wilaya Bunda, Lidya Bupilipili amethibitisha taarifa hizo na kueleza kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo hivyo vya kikatili kwa watoto wa kike.
#BMGHabari
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Habari kwa kina

No comments:

Powered by Blogger.