LIVE STREAM ADS

Header Ads

RC Mongella ahamasisha wafanyabiashara kulipa kodi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mkuu wa Mkoa Mwanza, Mongella amewahamasisha wafanyabiashara kulipa kodi kwa wakati kabla ya mwaka fedha 2019/20 kumalizika ili kuondokana na usumbufu wanaoweza kukumbana nao baada ya kuchelewa kufanya hivyo.

Mongella aliyasema hayo wakati akizungumzia zoezi la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya mlipa kodi, kuhamasisha ulipaji kodi na kusikiliza changamoto za wafanyabiashara kuanzia Juni 15-22, 2020 mkoani Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.