LIVE STREAM ADS

Header Ads

Ujenzi wa Ofisi ya kisasa Magu ‘DED ampa tano JPM’

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Magu mkoani Mwanza, Lutengano Mwalwiba ameikubali kasi ya uchapaji kazi wa kampuni ya Suma JKT na hivyo kumpongeza pia Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna alivyotambua uwezo wa kampuni hiyo na kuelekeza itekeleze miradi mbalimbali nchini.

Kauli hiyo ya Mwalwiba imekuja baada ya kampuni ya Suma JKT inayomilikiwa na Jeshi la Wanachi Tanzania (JWTZ) kupewa tenda ya kumalizia ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Magu lililokuwa limefikia hatua ya upauaji baada ya mkataba na mkandarasi wa awali kuvunjwa.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Mwonekano wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya Magu mkoani Mwanza ambalo liko katika hatua ya upauaji.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.