LIVE STREAM ADS

Header Ads

MARA "Mwanasheria Suzana Senso ajitosa Ubunge"

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mwanasheria Suzana Senso (kushoto) amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge wa Viti Maalumu Mkoa Mara kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akitokea Wilaya Tarime.
Hadi leo Julai 15, 2020 watia nia katika nafasi hiyo wamefika wanane kutoka Wilaya Tarime. 
Na Asha Shaban, Mara

No comments:

Powered by Blogger.