LIVE STREAM ADS

Header Ads

Hii hapa Halmashauri inayomwelewa vyema Rais Magufuli

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Katibu Mkuu Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya (wa kwanza kulia) akiwa na watendaji mbalimbali wa Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema alipofanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo katika Halmashauri hiyo.
Katibu Mkuu Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa watendaji wa Halmashauri ya Buchosa alipotembelea ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya.
Katibu Mkuu Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya (wa kwanza kulia) akikagua vitabu katika maktaba ya Shule ya Nyehunge.
Katibu Mkuu Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya (wa pili kushoto) akiwa pamoja na viongozi mbalimbali katika Halmashauri ya Buchosa alipotembelea maabara katika Shule ya Sekondari Nyehunge.
Watendaji mbalimbali katika Halmashauri ya Buchosa wakimsikiliza Katibu Mkuu ALAT, Elirehema Kaaya (hayuko pichani) alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake katika Halmashauri hiyo.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.