Katibu Mkuu ALAT apigwa butwaa utekelezaji wa miradi Buchosa
Ni baada ya kufanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri hiyo ikiwemo ujenzi wa majengo 11 katika Hospitali mpya ya Wilaya, jengo la Ofisi za Halmashauri, vyumba vitatu vya madarasa pamoja na maktaba katika Shule ya Sekondari Nyehunge.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMGKatibu Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya (kulia) akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Buchosa, Cyprian Luanda alipotembelea ujenzi wa jengo la Ofisi za Halmashauri hiyo.
Jengo la maktaba katika Shule ya Sekondari Nyehunge lililojengwa kwa fedha za EP4R.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya akikagua maktaba katika Shule ya Sekondari Nyehunde.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyehunge wakionyesha mbinu za ujifunzaji maabara.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Ziara Katibu Mkuu ALAT Buchosa
No comments: