Katibu Mkuu ALAT akagua miradi ya maendeleo Buchosa
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Miradi aliyotembelea Kaaya ni pamoja na ujenzi wa Hospitali yenye hadhi ya Wilaya, jengo la Ofisi za Halmashauri, vyumba vya madarasa na maktaba katika Shule ya Sekondari Nyehunge.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: