LIVE STREAM ADS

Header Ads

HUDUMA ZA KISHERIA ZINA GHARAMA LAKINI WIKI HII NI BURE

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Wananchi mkoani Mwanza wamehimizwa kufika katika viwanja vya Gandhi (Gandhi Hall) wilayani Nyamagana kuanzia Alhamisi Novemba 12 hadi Jumanne Novemba 17, 2020 ili kupata msaada wa kisheria bure. 
#BMGHabari
"Msaada wa kisheria una gharama kubwa lakini wiki hii wananchi watapata huduma hiyo bure" watoa huduma za kisheria jijini Mwanza.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.