LIVE STREAM ADS

Header Ads

Hapa kuna shida, kama mtu ni mwizi simamisha kazi- JAFO

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo akiwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya Sengerema, amekumbana na malalamiko mbalimbali ikiwemo madai ya fidia, ubadhilifu wa mapato ya Halmashauri pamoja na eneo kukosa hati licha ya ujenzi kuanza.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.