LIVE STREAM ADS

Header Ads

Loh! Aliyeibukia kwenye ziara ya JAFO na mafaili azua balaa, viongozi wapoteana

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mvutano umeibuka baada ya viongozi katika Halmashauri ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza kupishana maelezo kuhusiana na malalamiko ya wananchi waliofika katika ziara ya Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo wakilalamikia kutolipwa fidia licha ya ardhi yao kuchukuliwa kwa ajili ya ujenzi wa stendi.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.