Mabula aahidi neema soko la Mkuyuni jijini Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula akikagua mazingira ya wafanyabiashara wadogo katika soko la Mkuyuni.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula akiwa ameambatana na wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kukagua mazingira ya soko hilo.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula (kushoto) akipata baraka kutoka kwa mmoja wa wakazi wa Mkuyuni.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula akipokea maoni mbalimbali sokoni hapo.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula akisalimiana na wananzengo wa Mkuyuni.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula na viongozi mbalimbali wakikagua mipaka ya soko la Mkuyuni.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula akisalimiana na wakazi wa Mkuyuni.
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula na viongozi mbalimbali mguu kwa mguu kusikiliza kero za wakazi wa Mkuyuni ili kuzitafutia ufumbuzi.
Tazama BMG TV hapa chini
Tazama zaidi>>> Mbunge mabula kazini
No comments: