Duh! Mwanza waiona changamoto ya wafanyabiashara kuzagaa mitaani
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Viongozi mbalimbali walishiriki ziara hiyo akiwemo Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Costantine Sima.
Ziara ya Mbunge wa Nyamagana ilikagua masoko mbalimbali ikiwemo Soko Kuu, Machinjioni, Bugarika, Mirongo, Kamanga, Buhongwa, Mkolani, Nyegezi na Mkuyuni.
Ziara ya Mbunge wa Nyamagana kukagua masoko mbalimbali jijini Mwanza ili kubaini changamoto zake kwa ajili ya kuzitafutia ufumbuzi kama alivyoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2020.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Maswali ya wanachi kwa Mabula
No comments: