Waziri Jafo awakubali Misungwi, wanapiga kazi za viwango
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Selemani Jafo Januari 04, 2021 amekagua ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya Misungwi mkoani Mwanza na kuridhishwa na ujenzi wa hospitali hiyo.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: