Loh! Mfalme Zumaridi aja kivingine tangu afungiwe Kanisa
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Novemba 18, 2019 BMG TV ilikujuza taarifa ya Serikali kulifunga kanisa la Mfalme Zumaridi lililopo jijini Mwanza kwa madai ya kukiuka misingi ya kiimani/ kiuendeshaji. Februari 2021 tunakuletea taarifa nyingine kutoka nyumbani kwa Mfalme Zumaridi.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: