LIVE STREAM ADS

Header Ads

Waziri Biteko: Mazuri hayasemwi zaidi kama migogoro, tubadilike

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari Duniani yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa Geita (GPC) Mei 08, 2021. Kila mwaka Mei 03 huwa ni Siku ya Uhuru wa Habari Duniani.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Geita, Mhandisi Robert Gabriel (aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Mara) cheti cha pongezi kilichotolewa na GPC kwa kutambua mchango wake katika sekta ya habari.
Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo (kushoto) kilichotolewa na GBC kwa kutambua mchango wake katika sekta ya habari.
Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kutoka GPC mmoja wa waandishi wa habari Mkoa Geita (kushoto) kutokana na mchango wake katika kuhabarisha jamii.
Mwenyekiti wa GPC, Renatus Masuguruko akizungumza kwenye maadhimisho hayo.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.