Misungwi waitikia wito wa kupata Chanjo ya C0R0NA
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Halmashauri ya Wilaya Misungwi mkoani Mwanza imezindua rasmi zoezi la utoaji chanjo ya UVIKO 19 (COVID 19) ambapo katika awamu ya kwanza ya zoezi hilo, zaidi ya watu elfu nne wanatarajia kuchanjwa.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: