Waajiri wakielimishwa, wadada wa kazi watakuwa salama
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Sote tumekuwa tukisikia waajiri wa wafanyakazi wa nyumbani (wadada wa kazi) wakilalamikiwa kwa kuwatendea vitendo vya ukatili wafanyakazi wao.
Hata hivyo kwa mama Hendrika Andrea mkazi wa jijini Mwanza hali ni tofauti, yeye amekuwa mfano wa kuigwa na waajiri wengine. Fuatilia makala hii.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: