LIVE STREAM ADS

Header Ads

Kiongozi Mkuu Kanisa la Waadventista wa Sabato Duniani kutua Tanzania

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Askofu Mkuu Kanisa la Waadventista wa Sabato Jimbo Kuu la Kaskazini mwa Tanzania, Mark Warwa Malekana akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza kuhusiana na ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo duniani, Prof. Ted Wilson inayotarajiwa kufanyika hapa nchini.
Tazama BMG TV LIVE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.